Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Yeye Ni Mwenye Hekima Moyoni”—Lakini Mnyenyekevu
    Mkaribie Yehova
    • 7 Hata hivyo, Yehova ni mnyenyekevu na mpole. Yeye huwafundisha watumishi wake kwamba hawawezi kuwa na hekima ya kweli wasipokuwa wapole. Neno lake hutaja “upole ulio wa hekima.”b (Yakobo 3:13) Fikiria jinsi Yehova anavyoonyesha sifa hizo.

  • “Yeye Ni Mwenye Hekima Moyoni”—Lakini Mnyenyekevu
    Mkaribie Yehova
    • b Tafsiri nyingine husema “unyenyekevu unaotokana na hekima” na “upole ambao ni wonyesho muhimu wa hekima.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki