Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Jinsi Dini za Uwongo Zinavyopotosha Ukweli Kumhusu Mungu
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • Dini za uwongo “[zimebadili] kweli ya Mungu kwa ajili ya uwongo.” (Waroma 1:25) Kwa mfano, dini nyingi hazifundishi wafuasi wake jina la Mungu. Hata hivyo, Biblia inasema kwamba lazima watu walitumie jina la Mungu. (Waroma 10:13, 14) Jambo baya linapotokea, baadhi ya viongozi wa dini husema ni mapenzi ya Mungu. Lakini huo ni uwongo. Mungu hasababishi kamwe mambo maovu. (Soma Yakobo 1:13.) Inasikitisha kwamba uwongo wa dini umefanya iwe vigumu kwa watu kumpenda Mungu.

  • Kwa Nini Wanadamu Wanateseka na Kupatwa na Mambo Mabaya?
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • 4. Ni nani anayefanya wanadamu wateseke?

      Watu wengi wanaamini kwamba Mungu ndiye anayeutawala ulimwengu wote. Je, hilo ni kweli? Onyesha VIDEO.

      VIDEO: Ni Nani Anayeutawala Ulimwengu? (1:24)

      Soma Yakobo 1:13 na 1 Yohana 5:19, kisha mzungumzie swali hili:

      • Je, Mungu ndiye anayesababisha uovu na kuteseka?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki