-
Jinsi Familia Yako Inavyoweza Kuwa na Furaha—Sehemu ya 2Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
4. Wafundishe watoto wako kwa upendo
Kumfundisha mtoto kunaweza kutokeza changamoto. Biblia inawezaje kukusaidia? Soma Yakobo 1:19, 20, kisha mzungumzie maswali haya:
Wazazi wanaweza kuonyeshaje upendo wanapozungumza na watoto wao?
Kwa nini mzazi hapaswi kamwe kuwatia watoto wake nidhamu akiwa amekasirika?a
-
-
Jinsi Familia Yako Inavyoweza Kuwa na Furaha—Sehemu ya 2Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
a Katika Biblia, “nidhamu” inatia ndani kufundisha, kuongoza, na kurekebisha. Lakini haihusishi kamwe kumtendea mtoto vibaya au kwa ukatili.—Methali 4:1.
-