-
Inamaanisha Nini “Kuwapenda Adui” Zetu?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
“Wabariki wale wanaokulaani.” (Luka 6:28) Tunawabariki adui zetu kwa kuzungumza nao kwa fadhili na ufikirio hata wanapotutukana. Biblia inasema hivi: “Msilipe . . . matukano kwa matukano. Badala yake, lipeni kwa baraka.” (1 Petro 3:9) Ushauri huo unaweza kutusaidia kushinda chuki.
-