Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Inamaanisha Nini “Kuwapenda Adui” Zetu?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
      • “Wabariki wale wanaokulaani.” (Luka 6:28) Tunawabariki adui zetu kwa kuzungumza nao kwa fadhili na ufikirio hata wanapotutukana. Biblia inasema hivi: “Msilipe . . . matukano kwa matukano. Badala yake, lipeni kwa baraka.” (1 Petro 3:9) Ushauri huo unaweza kutusaidia kushinda chuki.

  • Inamaanisha Nini “Kuwapenda Adui” Zetu?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • 1 Petro 3:9: “Msilipe ubaya kwa ubaya au matukano kwa matukano.”

      Maana: Badala ya kulipiza kisasi, jaribu kutatua matatizo kwa amani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki