Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Ana Sifa Gani?
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • 3. Yehova ameonyeshaje kwamba anatupenda?

      Sifa kuu zaidi ya Yehova ni upendo. Na kwa kweli, “Mungu ni upendo.” (1 Yohana 4:8) Yehova amefunua upendo wake kupitia Biblia na vilevile kupitia vitu alivyoumba. (Soma Matendo 14:17.) Kwa mfano, fikiria jinsi alivyotuumba. Ametupatia uwezo wa kuona rangi maridadi, kusikiliza muziki mzuri, na kufurahia chakula kitamu. Anataka tufurahie maisha.

  • Jinsi Dini za Uwongo Zinavyopotosha Ukweli Kumhusu Mungu
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • 2. Matendo ya dini za uwongo yanapotoshaje ukweli kumhusu Mungu?

      Dini za uwongo huwatendea watu kinyume cha mapenzi ya Yehova. Biblia inasema kwamba “dhambi [za dini za uwongo] zimekusanyika pamoja mpaka mbinguni.” (Ufunuo 18:5) Kwa karne nyingi, dini za uwongo zimejihusisha na siasa, zimeunga mkono vita na kusababisha vifo vya watu wengi sana. Baadhi ya viongozi wa dini huishi maisha ya kifahari kwa kuwalazimisha wafuasi wao watoe sadaka. Matendo hayo yanathibitisha kwamba hawamjui Mungu na kwamba hawapaswi kumwakilisha.​—Soma 1 Yohana 4:8.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki