Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mpinga-Kristo
    Kutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
    • Je, Biblia inasema kwamba kuna mpinga-Kristo mmoja tu?

      1 Yoh. 2:18: “Watoto wachanga, ni saa ya mwisho, na, kama vile ambavyo mmesikia kwamba mpinga-Kristo anakuja, hata sasa kumekuwa na wapinga-Kristo wengi; uhakika ambao kutokana nao tunajua kwamba ni saa ya mwisho.”

      2 Yoh. 7: “Wadanganyifu wengi wametokea katika ulimwengu, watu ambao hawamkiri Yesu Kristo kuwa alikuja katika mwili. Hao ndio yule mdanganyifu na mpinga-Kristo.” (Ona kwamba “wapinga-Kristo wengi” katika 1 Yohana 2:18 wanatajwa hapa kwa ujumla kuwa ndiye “mpinga-Kristo.”)

  • Mpinga-Kristo
    Kutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
    • 1 Yoh. 2:18: “Hata sasa kumekuwa na wapinga-Kristo wengi; uhakika ambao kutokana nao tunajua kwamba ni saa ya mwisho.” (Kwa kusema “saa ya mwisho” inaonekana Yohana alimaanisha mwisho wa kipindi cha mitume. Wale mitume wengine walikuwa wamekufa, na Yohana mwenyewe alikuwa mzee sana.)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki