Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ukaribishaji-Wageni wa Kikristo Katika Ulimwengu Uliogawanyika
    Mnara wa Mlinzi—1996 | Oktoba 1
    • “Kwa hiyo, sisi, tuko chini ya wajibu wa kuwapokea watu wa namna hiyo kwa ukaribishaji-wageni, ili tupate kuwa wafanyakazi wenzi katika kweli.”—3 YOHANA 8, NW.

  • Ukaribishaji-Wageni wa Kikristo Katika Ulimwengu Uliogawanyika
    Mnara wa Mlinzi—1996 | Oktoba 1
    • 3. Twaweza kupataje shangwe na uradhi wa kweli?

      3 Jinsi mambo yangekuwa tofauti ikiwa watu wangeiga njia ya Yehova ya kushughulika na wengine—kuwa wenye fadhili, wenye ukarimu, na wakaribishaji-wageni! Alijulisha wazi kwamba siri ya kupata furaha ya kweli haimo katika kujaribu kwetu kuridhisha tamaa zetu wenyewe. Bali, huu ndio ufunguo: “Ni heri kutoa kuliko kupokea.” (Matendo 20:35) Ili kupata shangwe na uradhi wa kweli, lazima tushinde vizuizi na migawanyiko iwezayo kutuwekea mipaka. Na lazima tuwafikie wale wanaomtumikia Yehova pamoja nasi. Ni muhimu tutii shauri hili: “Kwa hiyo, sisi, tuko chini ya wajibu wa kuwapokea watu wa namna hiyo kwa ukaribishaji-wageni, ili tupate kuwa wafanyakazi wenzi katika kweli.” (3 Yohana 8, NW) Kuonyesha ukaribishaji-wageni kwa wanaostahili, kwa kadiri hali zetu zinavyoruhusu, kuna faida katika njia mbili—hufaidi watoaji pamoja na wapokeaji. Ni nani basi, walio miongoni mwa wanaostahili tupaswao ‘kuwapokea kwa ukaribishaji-wageni’?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki