-
Jinsi Dini za Uwongo Zinavyopotosha Ukweli Kumhusu MunguFurahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
6. Mungu anataka kuwasaidia watu watoke katika dini za uwongo
Soma Ufunuo 18:4,a kisha mzungumzie swali hili:
Unahisije kujua kwamba Mungu anataka kuwasaidia watu watoke katika dini za uwongo?
-
-
Endelea Kuwa Mshikamanifu kwa YehovaFurahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
Upendo wetu kwa Yehova utatuchochea kuepuka kushirikiana kwa njia yoyote na dini za uwongo. Hatupaswi kufanya kazi au kushirikiana na shirika lolote la kidini wala kujihusisha na shughuli zozote zinazohusiana na dini za uwongo. Yehova anatuonya hivi: “Tokeni [katika Babiloni Mkubwa], watu wangu.”—Ufunuo 18:2, 4.
CHIMBA ZAIDI
-
-
Endelea Kuwa Mshikamanifu kwa YehovaFurahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
Soma Luka 4:8 na Ufunuo 18:4, 5, kisha ujibu maswali haya:
Je, bado jina langu limeandikwa kwenye orodha ya wafuasi wa dini ya uwongo?
Je, ninashirikiana na shirika linalohusiana na dini nyingine?
Je, kazi yangu inaunga mkono dini ya uwongo kwa njia yoyote?
Je, kuna hatua nyingine ambayo ninahitaji kuchukua ili kujitenga na dini ya uwongo?
Ikiwa nimejibu ndiyo kwa mojawapo ya maswali hayo, ninapaswa kufanya mabadiliko gani?
Katika visa hivyo vyote, fanya uamuzi utakaokuacha ukiwa na dhamiri safi na utakaoonyesha kwamba wewe ni mshikamanifu kwa Yehova.
Utafanya nini ukiombwa utoe mchango wa kusaidia mashirika ya kidini?
WATU FULANI HUSEMA: “Ninahitaji kujua mambo ambayo waasi-imani wanasema kuhusu Mashahidi wa Yehova ili nitetee ukweli.”
-