Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Jinsi Dini za Uwongo Zinavyopotosha Ukweli Kumhusu Mungu
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • 6. Mungu anataka kuwasaidia watu watoke katika dini za uwongo

      Soma Ufunuo 18:4,a kisha mzungumzie swali hili:

      • Unahisije kujua kwamba Mungu anataka kuwasaidia watu watoke katika dini za uwongo?

  • Endelea Kuwa Mshikamanifu kwa Yehova
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • Upendo wetu kwa Yehova utatuchochea kuepuka kushirikiana kwa njia yoyote na dini za uwongo. Hatupaswi kufanya kazi au kushirikiana na shirika lolote la kidini wala kujihusisha na shughuli zozote zinazohusiana na dini za uwongo. Yehova anatuonya hivi: “Tokeni [katika Babiloni Mkubwa], watu wangu.”—Ufunuo 18:2, 4.

      CHIMBA ZAIDI

  • Endelea Kuwa Mshikamanifu kwa Yehova
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • Onyesha VIDEO.

      VIDEO: Tokeni Katika Babiloni Mkubwa!

      Picha ya video ‘Tokeni Katika Babiloni Mkubwa!’ Mwanafunzi wa Biblia akiondoka kwenye meza ya kasisi baada ya kuacha kazi kanisani.

      Soma Luka 4:8 na Ufunuo 18:4, 5, kisha ujibu maswali haya:

      • Je, bado jina langu limeandikwa kwenye orodha ya wafuasi wa dini ya uwongo?

      • Je, ninashirikiana na shirika linalohusiana na dini nyingine?

      • Je, kazi yangu inaunga mkono dini ya uwongo kwa njia yoyote?

      • Je, kuna hatua nyingine ambayo ninahitaji kuchukua ili kujitenga na dini ya uwongo?

      • Ikiwa nimejibu ndiyo kwa mojawapo ya maswali hayo, ninapaswa kufanya mabadiliko gani?

      Katika visa hivyo vyote, fanya uamuzi utakaokuacha ukiwa na dhamiri safi na utakaoonyesha kwamba wewe ni mshikamanifu kwa Yehova.

      Dada na mwanawe wakitoka dukani. Wanapita kando ya mwanamke anayekusanya michango kwa ajili shirika la kidini.

      Utafanya nini ukiombwa utoe mchango wa kusaidia mashirika ya kidini?

      WATU FULANI HUSEMA: “Ninahitaji kujua mambo ambayo waasi-imani wanasema kuhusu Mashahidi wa Yehova ili nitetee ukweli.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki