-
Yerusalemu Jipya Ni Nini?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
Yerusalemu Jipya liko mbinguni. Kila wakati ambapo Biblia inataja Yerusalemu Jipya, inaonyesha kwamba jiji hilo linashuka kutoka mbinguni, ambako malaika wanalinda malango ya jiji hilo. (Ufunuo 3:12; 21:2, 10, 12) Pia, ukubwa wa jiji hilo unaonyesha kwamba haliwezi kuwa duniani. Jiji hilo lina umbo la mraba wenye ukubwa wa “stadia 12,000” au kilomita 2,200 hivi.a (Ufunuo 21:16) Hilo linamaanisha kwamba kila upande ungekuwa umeinuka kwa kimo cha kilomita 560 hivi angani.
-
-
Yerusalemu Jipya Ni Nini?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
a Stadia kilikuwa kipimo kilichotumiwa na Waroma kinacholingana na mita 185.
-