Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Biblia Inasema Nini Kuhusu Magonjwa ya Mlipuko?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • Je, Biblia ilitabiri kuhusu magonjwa ya mlipuko?

      Biblia haitabiri magonjwa hususa ya mlipuko, kama vile ugonjwa wa virusi vya corona (COVID-19), UKIMWI, au homa ya Hispania. Lakini inatabiri kuhusu “magonjwa” (au “tauni,” UV) na “ugonjwa hatari.” (Luka 21:11; Ufunuo 6:8) Matukio hayo ni sehemu ya ishara ya “siku za mwisho,” inayorejelewa pia kuwa “umalizio wa mfumo wa mambo.”—2 Timotheo 3:1; Mathayo 24:3.

  • Biblia Inasema Nini Kuhusu Magonjwa ya Mlipuko?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • Ufunuo 6:8: “Tazama! farasi wa rangi ya kijivu, na yule aliyeketi juu yake alikuwa na jina Kifo. Na Kaburi lilikuwa likimfuata kwa ukaribu. Nao wakapewa mamlaka . . . ili kuua kwa . . . ugonjwa hatari.”

      Maana: Unabii kuhusu wapanda-farasi wanne wa Ufunuo unaonyesha kwamba magonjwa ya mlipuko yangetokea katika siku zetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki