Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi—2014 | Novemba 15
    • Andiko la Ufunuo 11:3 linasema kwamba mashahidi wawili wangetoa unabii kwa siku 1,260. Kisha, simulizi hilo linasema kwamba mnyama-mwitu ‘angewashinda na kuwaua.’ Lakini baada ya “siku tatu na nusu,” mashahidi hao wawili wangerudishwa kwenye uhai, na hilo lingewashangaza watu wote waliokuwa wakiwatazama.—Ufu. 11:7, 11.

  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi—2014 | Novemba 15
    • Marejeo hayo yanahusianaje na Ufunuo sura ya 11 na Zekaria 4:1-3, na 14? Kila simulizi linawarejelea watiwa-mafuta wa Mungu waliokuwa wakiongoza katika wakati huo mgumu wa majaribu. Basi Ufalme wa Mungu ulipoanza kutawala mbinguni mwaka wa 1914, ndugu watiwa-mafuta waliokuwa wakiongoza wakati huo walitimiza andiko la Ufunuo sura ya 11 kwa kuhubiri kwa miaka mitatu na nusu wakiwa wamevikwa “nguo za magunia.”

  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi—2014 | Novemba 15
Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki