-
Biblia Ni Ujumbe Kutoka kwa MunguFurahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
2. Je, kila mtu duniani anaweza kuipata Biblia?
“Kila taifa na kabila na lugha na watu” wanaweza kunufaika na habari njema iliyo katika Biblia. (Soma Ufunuo 14:6.) Mungu amehakikisha kwamba Biblia inapatikana katika lugha nyingi zaidi kuliko kitabu kingine chochote. Karibu kila mtu anaweza kuipata Biblia. Inapatikana kila mahali na katika lugha nyingi sana.
-
-
Malaika Ni Nani na Wanafanya Kazi Gani?Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
4. Malaika huwasaidia watu wajifunze kumhusu Yehova
Malaika wa Mungu hawahubirii watu moja kwa moja. Badala yake, wanaweza kuwaongoza watu wa Mungu wawahubirie watu wanaotaka kujifunza kumhusu. Soma Ufunuo 14:6, 7, kisha mzungumzie maswali haya:
Kwa nini tunahitaji msaada wa malaika tunapohubiri?
Je, unatiwa moyo kujua kwamba malaika wanaweza kukuongoza uwahubirie watu wanaohitaji kusikia ujumbe wa Biblia? Kwa nini?
-