Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Biblia Ni Ujumbe Kutoka kwa Mungu
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • 2. Je, kila mtu duniani anaweza kuipata Biblia?

      “Kila taifa na kabila na lugha na watu” wanaweza kunufaika na habari njema iliyo katika Biblia. (Soma Ufunuo 14:6.) Mungu amehakikisha kwamba Biblia inapatikana katika lugha nyingi zaidi kuliko kitabu kingine chochote. Karibu kila mtu anaweza kuipata Biblia. Inapatikana kila mahali na katika lugha nyingi sana.

  • Malaika Ni Nani na Wanafanya Kazi Gani?
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • Malaika akiwaongoza Mashahidi wawili wa Yehova wanapohubiri nyumba kwa nyumba.

      4. Malaika huwasaidia watu wajifunze kumhusu Yehova

      Malaika wa Mungu hawahubirii watu moja kwa moja. Badala yake, wanaweza kuwaongoza watu wa Mungu wawahubirie watu wanaotaka kujifunza kumhusu. Soma Ufunuo 14:6, 7, kisha mzungumzie maswali haya:

      • Kwa nini tunahitaji msaada wa malaika tunapohubiri?

      • Je, unatiwa moyo kujua kwamba malaika wanaweza kukuongoza uwahubirie watu wanaohitaji kusikia ujumbe wa Biblia? Kwa nini?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki