Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 54
  • Lazima Tuwe na Imani

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Lazima Tuwe na Imani
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Lazima Tuwe na Imani
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Ni Lazima Tuwe na Imani!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Onyesha Imani Yako Katika Ahadi za Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
  • “Tupe Imani Zaidi”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 54

Wimbo Na. 54

Lazima Tuwe na Imani

Makala Iliyochapishwa

(Waebrania 10:38, 39)

1. Kale Yehova Mungu kasema,

Kupitia manabii.

Leo kupitia Mwana wake,

Anasema: ‘Tubuni!’

(KORASI)

Je, tuna imani kweli?

Ni lazima tuijenge.

Je, ni ya matendo kweli?

Imani iokoayo nafsi.

2. Amri ya Yesu Kristo twatii,

Ufalme tunatangaza.

Kweli iwe wazi tukiwa na

Uhuru wa kusema.

(Korasi)

3. Tuna imani nayo ni ngao;

Kamwe hatutaogopa.

Japo tuna wengi maadui,

Wokovu u karibu.

(KORASI)

Je, tuna imani kweli?

Ni lazima tuijenge.

Je, ni ya matendo kweli?

Imani iokoayo nafsi.

Je, tuna imani kweli?

Ni lazima tuijenge.

Je, ni ya matendo kweli?

Imani iokoayo nafsi.

(Ona pia Rom. 10:10; Efe. 3:12; Ebr. 11:6; 1 Yoh. 5:4.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki