Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 65
  • “Hii Ndiyo Njia”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Hii Ndiyo Njia”
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • “Hii Ndiyo Njia”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Uzima wa Milele Umeahidiwa
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Zisikilizeni Habari za Ufalme
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 65

Wimbo Na. 65

“Hii Ndiyo Njia”

Makala Iliyochapishwa

(Isaya 30:20, 21)

1. Njia ya amani,

Uliyoipata.

Uliyofundishwa,

Njia ya zamani.

Njia ambayo Yesu

Alifundisha.

Njia ya amani

Njia ya Yehova.

(KORASI)

Njia hii; njia ya uzima

’Sigeuke, wala kupotoka.

Mungu wetu atuagiza:

‘Pita hapa; ’Sitazame nyuma.’

2. Njia ya upendo,

Usikengeuke.

Sauti ya Mungu,

Inatuongoza.

Upendo na wema;

Anatuonyesha.

Njia ya upendo;

Inatuchochea.

(KORASI)

Njia hii; njia ya uzima

’Sigeuke, wala kupotoka.

Mungu wetu atuagiza:

‘Pita hapa; ’Sitazame nyuma.’

3. Njia ya Uzima,

’Sitazame nyuma.

Mungu katupa:

Njia bora zaidi,

Njia ya amani,

Njia ya upendo,

Njia ya uzima.

Asante Yehova.

(KORASI)

Njia hii; njia ya uzima

’Sigeuke, wala kupotoka.

Mungu wetu atuagiza:

‘Pita hapa; ’Sitazame nyuma.’

(Ona pia Zab. 32:8; 139:24; Met. 6:23.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki