Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 49
  • Yehova Ni Kimbilio Letu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Ni Kimbilio Letu
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova Ni Kimbilio Letu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Yehova Ni Kimbilio Letu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Yehova Ni Kimbilio Letu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2001
  • ‘Pata Kimbilio Katika Jina la Yehova’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 49
Makala Iliyochapishwa

Wimbo Na. 49

Yehova Ni Kimbilio Letu

(Zaburi 91)

1. Yehova, kimbilio,

Ndiye twatumai.

Yeye ni ngome yetu;

Kwake twajificha.

Mungu atatuokoa,

Kamwe hatutaogopa.

Yehova, kimbilio,

Kwa waadilifu wote.

2. Maelfu waanguka,

Kando yako wewe.

Kati ya wa’minifu,

Kuna usalama.

Hutatetema kwa woga,

Hutapatwa na madhara.

Utaona mwenyewe,

Chini ya mbawa za Mungu.

3. Yehova yuko nawe,

Ili kukulinda.

Hataki ujikwae,

Wala kuogopa.

Mwana-simba hutahofu;

Swila utamukanyaga.

Yehova Kimbilio,

Atuongoza milele.

(Ona pia Zab. 97:10; 121:3, 5; Isa. 52:12.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki