Wimbo 129
Sasa Ndio Wakati!
1. Sasa ndio wakati,
Neno tulihubiri.
Hasha, tusitishike;
Ufalme tuupendekeze.
Tuwaonye wasikawie.
Babuloni wamukimbie
Humo wasishiriki kifo.
Na katika nyumba ya Mungu.
Sasa tuonyeshe bidii.
2. Sasa hii ni saa
Ndugu kusaidia,
Wa kale hata wapya,
Tuwe wengi, wachache pia.
Bila choyo kutumikia.
Tupende kweli kila siku,
Mungu atatufurahia
Ukamilifu tudumishe.
Ndiyo saa ya kudumisha.
3. Karibu iingie
Vita, nao ushindi.
Giza, litokomee.
Hadi hapo sote tung’ae.
Wafu kisha tuwapokee,
Mukate, Yesu, tuwalishe.
Maovu yote yatakwisha.
Mungu ameyasema hayo.
Sasa hayo tuyahubiri.