Wimbo 48
Mpe Yehova Sifa
1. Pa sifa Yehova.
Kwa pendo lake
Ni agizo lake
kweli ing’ae.
Na kila unacho
Ulipokea
Kwa Mungu mupaji;
Heshimu yeye.
2. Mweke mbele yako;
Ukajifiche.
Kwa hiyo ung’ae
nuru tukufu.
Utembee naye,
Umutafute,
Na kutanguliza
Kazi ya Yeye.
3. Nenda nayo shangwe
Kwa kazi yake;
Mushukuru yeye
kwa pendeleo.
Pa sifa Yehova,
Tangaza ’Falme,
Mpaka jina lake
Wote wasifu.