Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 125
  • “Yehova Yuko Upande Wangu”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Yehova Yuko Upande Wangu”
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Taifa Takatifu la Yehova
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Uzima wa Milele Umeahidiwa
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Jipange Upande wa Yehova!
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 125

Wimbo 125

“Yehova Yuko Upande Wangu”

(Zaburi 118:6)

1. Moyo wangu kwa Yehova

Ni imara, thabiti.

Natamani njia zake

Nizifuate sana.

Kwenye njia ya uzima

Huenda kuwe shida,

Mungu ni upande wangu.

Upendo wake mwema!

(Korasi)

2. Najua imani yangu

Itapata jaribu.

Na jeshi la Ibilisi

Kama nyuki wakali.

Naweza kuwafukuza,

Kwa kinga ya kimungu.

Mungu awapenda watu

Wa lile jina lake.

(Korasi)

3. Yehova amepanua

Mipaka ya taifa.

Wengi wanamiminika

Wafanya penzi lake.

Na anawategemeza;

Anapendezwa nao.

Nami niwe na bidii

Inijae kabisa.

(KORASI)

Yehova upande wangu;

Nitamusifu Yah daima.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki