Wimbo 50
Kuitikia Upendo wa Mungu
1. Mungu, wapita wote; Twakupenda kwa moyo,
Yehova wastahili sifa.
Twasifu jina lako na
Neno lako ambalo latufunza njia zako.
Waonyesha hisia, U haki kwa matendo;
Waonyesha hekima, nguvu.
Kwa Andiko tunayo hakika utatubariki,
Tukisafisha—moyo.
2. Ulitupenda kwanza; Upendo wako kwa
Kristo watuvuta tukupende.
Yesu akutakase, kaja afunue pendo,
ili tupate uzima.
Wote aliwazidi Kwa kutoa zawadi,
Ya uhai kwa watu wengi.
Na tusiangamie, Uchungaji wake
tunathamini, Pia shauri.
3. Ulimwengu kufanya Kazi hautazuia ya
kutangaza Ufalme.
Kwa huduma ya nia watu wote
twawatimizia pendo, haki yao.
Kutumika pamoja Kupendana wenyewe
Hufunua tu wa Mwanako.
Faida za Ufalme twazitumia vema;
Twataka atusifu “Vema.”