Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 156
  • “Nataka”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Nataka”
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • ‘Nataka’
    Mwimbieni Yehova
  • Kristo Mfano Wetu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • ‘Nataka’
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kiti cha Ufalme Mbinguni cha Yehova
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 156

Wimbo 156

“Nataka”

(Luka 5:13)

1. Yesu alituonyesha,

Upendo akaja chini,

Aishi na watu, Awape ukweli.

Na aliusema daima.

Na alifariji watu,

Aliwaponya wagonjwa.

Aliitimiza kazi yake,

Yeye alisema: “Nataka.”

2. Mungu alisaidia

Kutoa “mutumwa” wake

Tunayetumika Pamoja na yeye,

Tuponye wenye mahitaji!

Wao wanajua sisi

Tunapowapenda sana.

Wajane nao yatima pia,

Utawaambia: “Nataka”?

3. Kupenda Mungu kwafanya

Tuhubiri, tufundishe.

Wanaougua Na walioachwa;

Na tuwasaidie wao.

Ni shangwe wakifahamu

Kweli nzuri za Biblia,

Wafanye utumishi wa Mungu!

Kwani tumesema: “Nataka.”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki