Wimbo 181
Shiriki Wimbo wa Ufalme!
1. Kuna wimbo, wa ushindi, wa shangwe;
Watukuza Mungu, ukiwapa
Tumaini na wahimiza wote,
Imba nasi; kichwa cha Ufalme:
‘Atawala; E dunia,
Enyi mbingu, Furahini.’
Wimbo mupya; Wa kutawazwa Kristo
Wote waje waheshimu ’Falme.
2. Tunaimba, habari za Ufalme.
Naye Yesu; atawala juu.
Ilisemwa kuna taifa jipya,
Kristo ndiye Analitawala.
‘Abuduni Mungu nyote
Baba yake Tujulishe!
Jifunzeni, Wimbo mupya wa ’Falme;
Abuduni Mungu abariki.’
3. Wimbo huu ni rahisi kujua.
Na ni wazi; unachangamusha.
Duniani umati umejua,
Kisha wao waita wengine:
‘Omba Mungu. Musifuni,
Wafu yeye Tafufua.’
Basi wewe sifu Yehova nasi.
Wimbo wetu wapendeza yeye.