Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 162
  • “Lihubiri Neno”!

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Lihubiri Neno”!
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • “Lihubiri Neno”
    Mwimbieni Yehova
  • “Lihubiri Neno”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Njema Hizi za Ufalme Tuzihubiri
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Jinsi Habari Njema Inavyohubiriwa
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 162

Wimbo 162

“Lihubiri Neno”!

(2 Timotheo 4:2)

1. “Lihubiri neno,” sasa

Ni amuri ya Mungu.

Tuna wakati tutii

Amuri ya Kimungu.

‘Hubiri Neno’ fundisha;

Elewesha wapole.

Bila hofu, kuhubiri

Barabarani kote.

2. ‘Hubiri’ kila wakati,

Uwe tayari kupa

Kila anayeuliza

Unayotumaini.

‘Hubiri,’ japo kupinga

Muda usiofaa.

Mwaminifu kwa agizo;

Mutumaini Mungu.

3. “Lihubiri Neno” bila

Kukoma, wasikie!

Uovu waongezeka.

Na mwisho u karibu.

‘Hubiri Neno,’ wokovu

Kwako na kwa wengine.

‘Hubiri Neno,’ karibu

Yehova atetewe.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki