Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 179
  • Ni Lazima Tumngojee Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ni Lazima Tumngojee Yehova
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Je, Uko Tayari Kungoja kwa Subira?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
  • Kristo Mfano Wetu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Tafuta Majibu ya Maswali Haya
    Programu ya Kusanyiko la Mzunguko Lililo na Mwangalizi wa Mzunguko la 2023-202
  • ‘Haitachelewa!’
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 179

Wimbo 179

Ni Lazima Tumngojee Yehova

(Warumi 8:19)

1. Kunalo “kundi dogo.”

Lingojee Yehova.

Wafalme watawale;

Ni tumaini kubwa.

Yesu atawala;

Ana haki yake.

Na atathawabisha

Watu wake wote

Wanaohubiri.

2. Na “kondoo wengine”

Ni wenzi wao pia.

Pamoja watamani

Kuwa wakamilifu.

Nuru izidipo

Wangoja wana wa

Mungu wafunuliwe,

Kuwe na amani,

Amani milele.

3. Mungu ameahidi

Mbingu, dunia mupya.

Wenye uadilifu,

Uletwe na Ufalme.

Tunautamani,

Twajifunza kweli.

Twamutumaini Yah;

Tungojee yeye.

Tungojee yeye.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki