Wimbo 179
Ni Lazima Tumngojee Yehova
1. Kunalo “kundi dogo.”
Lingojee Yehova.
Wafalme watawale;
Ni tumaini kubwa.
Yesu atawala;
Ana haki yake.
Na atathawabisha
Watu wake wote
Wanaohubiri.
2. Na “kondoo wengine”
Ni wenzi wao pia.
Pamoja watamani
Kuwa wakamilifu.
Nuru izidipo
Wangoja wana wa
Mungu wafunuliwe,
Kuwe na amani,
Amani milele.
3. Mungu ameahidi
Mbingu, dunia mupya.
Wenye uadilifu,
Uletwe na Ufalme.
Tunautamani,
Twajifunza kweli.
Twamutumaini Yah;
Tungojee yeye.
Tungojee yeye.