Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 219
  • Kiti cha Ufalme Mbinguni cha Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kiti cha Ufalme Mbinguni cha Yehova
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Uzuri Mwingi Mno wa Kiti cha Ufalme cha Yehova cha Kimbingu
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
  • Kristo Mfano Wetu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • “Nataka”
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Sifu Yehova Mungu Wetu!
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 219

Wimbo 219

Kiti cha Ufalme Mbinguni cha Yehova

(Ufunuo 4)

1. Ewe Yehova, ndiwe Mungu.

Utukufu wa kiti chako mwingi.

Upinde-mvua waonyesha.

U Mungu wa amani, Mutulivu.

2. “Wazee ishirini na nne,”

Ni wafalme makuhani na Kristo!

Viumbe wanne wakusifu:

U haki, na hekima—Na upendo.

3. Watokeza radi, umeme.

Wote wausikilize ukweli.

Bahari-kioo, usafi.

Na tuoge katika Neno lako.

4. Njozi hii inatufanya

Tukusifu Mungu Mutakatifu.

Yesu Mwokozi atawala.

Na kupitia kwake Twakujia.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki