Wimbo 198
Kupata Kumjua Mungu Wetu
1. Twajua sana. Jinsi Mungu
Anahisi.
Kwa kutuweka Tuwe huru
Atujali.
2. Mwenye rehema Apendeka,
Tunajua.
Twamutumai; Tu mavumbi,
Hufadhili.
3. Tufunzwe mengi, Ya Yehova,
Twafahamu.
Na twajikaza Kutembea
Kama Yesu.
4. Upendo wake Mwingi muno,
Tufuate.
Tusifu jina La Yehova,
Ni wa kweli.