Wimbo 100
Sifu Yehova Mungu Wetu!
1. Sifu Yah! Sifu Yehova!
Umujulishe! Tangaza!
Ni heko! Na umwimbie!
Mbingu na dunia ni zake.
Ni Muumba wa vitu vyote.
Ona nguvu na upendo.
Hekima, haki, na uwezo,
Bidii zinaonyesha!
Sifu Yah! Sifu Yehova!
Umujulishe! Tangaza!
2. Sifu Yah! Sifu Yehova!
Ni mwenye wema! Tangaza!
Makofi! Ana fadhili!
Wote wazione fadhili.
Yeye ni Shujaa, hodari
wa vita Lakini ’pole.
Watu wake atawalinda.
Atawafadhili wao.
Sifu Yah! Sifu Yehova!
Ni mwenye wema! Tangaza!
3. Sifu Yah! Sifu Yehova!
Ufalme wake! Tangaza!
Vishindo! O shangilia
Yehova duniani kote!
Ndio sasa! Yesu ni Mufalme.
Yehova asifiwe.
Tuimbe wimbo wa ushindi,
Na kutii Mungu sana.
Sifu Yah! Sifu Yehova!
Ufalme wake! Tangaza!