Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 143
  • Jipange Upande wa Yehova!

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Jipange Upande wa Yehova!
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Simama Upande wa Yehova
    Mwimbieni Yehova
  • Simama Upande wa Yehova!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Yehova, Nguvu Zetu na Uweza Wetu
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 143

Wimbo 143

Jipange Upande wa Yehova!

(Kutoka 32:26)

1. Kwanza tulivurugwa moyoni,

Tukanyweshwa uwongo wa dini;

Tulipendezwa ajabu gani

Na Ufalme mwanzoni (mwanzoni).

(Korasi)

2. Tutumikie Mungu kwa moyo,

Kweli ya Mungu na tueneze.

Ndugu zetu tuwasaidie.

Jina lake wasifu (wasifu).

(Korasi)

3. Ibilisi hatutamwogopa

Yehova Mungu ‘tatuokoa.

Japo wengi, sisi ni wachache,

Mungu ni nguvu yetu (ni yetu).

(KORASI)

Jipange naye Yah;

Mupende yeye.

Hakuachi kamwe;

Enda nuruni.

Habari za mema

Sema tu, sema.

Ufalme wa Yesu

Kuongezeka.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki