Wimbo 5
Uumbaji Wote, Sifuni Yehova!
1. Wote sifuni Yehova;
Bariki jina lake.
Kucha kutwa malaika
Wanamushangilia.
2. Jua, mwezi, hata mbingu,
Vinamusifu Mungu.
Vyatii sheria zake;
Hazitapita kamwe.
3. Sifa inapanda juu.
“Kondoo” wachagua.
Watumikie Muumba,
Wafurahi nyuani.
4. Umati wa mataifa
Waja hekalu kwake.
Afaa kuabudiwa.
Yeye Mungu pekee.