Wimbo 21
Shangilieni Ufalme wa Yehova!
1. Wakristo, shangilieni
Ufalme wa Yehova.
Mikaeli akashinda,
Ibilisi mbinguni.
Joka nao mashetani;
Karibu watafungwa.
Na Yesu atafanyiza
Mungu ahimidiwe.
2. “Mabaki” ya “kundi dogo”
Watangulie mbele
Ufalme kushangilia,
Wa Yesu, pia wao.
Chini watakaobaki,
Katika Paradiso
Washiriki na “mabaki,”
Kutangaza Ufalme.
3. ’Falme wa Yah shangilia.
Hubiri, funza vema;
Wapole wasaidiwe
Wawe “wa nia njema.”
’Falme wa Yah shangilia,
Wa kustaajabia.
Milele utabariki,
Utetee Yehova!