Wimbo 117
Ndoa—Mpango wa Mungu
1. Ndoa mupango wake
Mungu. Alibuni.
Kifungo cha umoja,
Baraka kwa watu.
Chafunga mume, muke
Kwa namuna hiyo.
Watumikie Mungu
Mume na mukeye.
2. Ndani yake Biblia
Muna mashauri.
Inasema ukichwa
Cheo cha waume.
‘Mupende kama wewe.’
Ni takwa la Mungu.
Aheshimuye mume
Yuko kama kito.
3. Nyuzi tatu zapita
Nguvu nyuzi mbili.
Mungu akiwa ndani,
Matatizo haba.
Kuna furaha nyingi
Katika kutoa.
Tuhudumupo Mungu,
Wajibu kutoa.