Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 113
  • Sisi Ni Mashahidi wa Yehova!

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sisi Ni Mashahidi wa Yehova!
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Sisi Ni Mashahidi wa Yehova
    Mwimbieni Yehova
  • Sisi Ni Mashahidi wa Yehova!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Uzima wa Milele Umeahidiwa
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 113

Wimbo 113

Sisi Ni Mashahidi wa Yehova!

(Isaya 43:10-12)

1. Watu hufanya mungu,

Wa miti na wa mawe.

Nao hawajui

Mungu wa kweli.

Miungu mingineyo,

Haioni yajayo.

Hiyo haina mashahidi,

Kwani haina uungu.

(Korasi)

2. ‘Mu mashahidi wangu,’

Musihofu miungu.

Yehova ni mimi,

Na Mwenye Enzi.

Mimi niliwaponya

Miungu hamujui.

Litangazeni jina langu;

Ninyi Mashahidi wangu.’

(Korasi)

3. Kushuhudia jina

Huondoa lawama.

Bali kwa waovu

Onyo twatoa.

Warudiao Mungu

Awasamehe Mungu.

Hivyo twatumaini sisi

Uzima usiokoma.

(KORASI)

Sisi ni Mashahidi

Wa Yehova; twasema.

Mungu wetu wa unabii;

Wa kweli unabii.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki