Wimbo 195
Hii Ni Siku ya Yehova
1. Siku ya Yehova. Enzi itadumu.
Jiwe Kuu kaweka Sayuni.
Wamushangilie Washukuru yeye.
Twaamini Ufalme wa Yehova tu.
(Korasi)
2. Kristo atawala, ’Magedoni yaja.
Mufumo wa Shetani kupita.
Lihubiri Neno; Ujumbe wa Mungu.
Saidia wapole watii Mungu.
(Korasi)
3. Na Mufalme Yesu; Wa ajabu sana.
Utawala wake twakubali.
Ingia hekalu! Ombeni kibali,
Tupate kulindwa hudumani mwake.
(KORASI)
We Ufalme ’taleta nini?
Ushindi, uadilifu.
Nini kingine utaleta?
Uzima hata furaha.
Sifu Mwenye Enzi Kuu
Mwenye pendo, imani.