Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 144
  • Ni Lazima Tuwe na Imani!

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ni Lazima Tuwe na Imani!
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Lazima Tuwe na Imani
    Mwimbieni Yehova
  • Lazima Tuwe na Imani
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Uzima wa Milele Umeahidiwa
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 144

Wimbo 144

Ni Lazima Tuwe na Imani!

(Waebrania 10:39)

1. Mungu akawa anena zamani

Akitumia manabii chini.

Mwisho Mwana wa mbingu katumia;

Tutasalimika tukisikia.

(Korasi)

2. Uhuru wa kusema tusitupe,

Kwa huo tuhubiri, tufundishe.

Kwa imani tukifuata Bwana,

Yehova kututhawabisha sana.

(Korasi)

3. Haturudi nyuma tuharibiwe.

Twatumaini tutumiwe naye.

Hata wawe wengi adui zetu,

Yehova bado tutamwamini tu.

(KORASI)

Imani ni ya lazima kwetu sisi

Ili vita ya Mungu tupone sisi.

Je! ni ya matendo imani yetu?

Ndiyo iokoayo nafusi.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki