-
ToharaniKutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
-
-
Rom. 6:7, UV: “Yeye aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.” (NAJ: “Mtu anapokufa anakuwa huru na mambo ya dhambi.”)
Je, wafu wanaweza kuwa na shangwe kwa sababu wanatarajia kuokolewa?
Mhu. 9:5, UV: “Walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote.”
Isa. 38:18, UV: “Kuzimu [“Kaburi,” NW] hakuwezi kukusifu [Yehova]; mauti haiwezi kukuadhimisha; wale washukao shimoni hawawezi kuitarajia kweli yako.” (Basi, hao wafu wanawezaje “kuwa na shangwe kwa sababu wanatarajia kuokolewa”?)
Kulingana na Biblia, dhambi husafishwaje?
1 Yoh. 1:7, 9, UV: “Tukienenda nuruni, kama yeye [Mungu] alivyo katika nuru, twashirikiana sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana wake, yatusafisha dhambi yote. . . . Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote [“uovu wote,” BHN].
Ufu. 1:5, UV: “Yesu Kristo . . . atupendaye na kutuosha dhambi zetu katika damu yake.”
-
-
Uasi-ImaniKutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
-
-
Uasi-Imani
Maana: Uasi-imani ni kuacha ibada na utumishi wa Mungu, hasa ni kumwasi Yehova Mungu. Waasi-imani fulani hudai kwamba wanamjua na kumtumikia Mungu lakini hukataa mafundisho au matakwa yaliyoandikwa katika Neno lake. Wengine hudai kwamba wanaiamini Biblia lakini hulikataa tengenezo la Yehova.
Je, tutarajie kwamba waasi-imani watatokea katika kutaniko la Kikristo?
1 Tim. 4:1: “Neno lililoongozwa na roho linasema kwa hakika kwamba katika vipindi vya nyakati za mwisho wengine wataanguka kutoka kwenye imani, wakisikiliza maneno yaliyoongozwa kwa roho yenye kupotosha na mafundisho ya roho waovu.”
2 The. 2:3: “Msiache mtu yeyote awashawishi ninyi kwa namna yoyote, kwa sababu hiyo haitakuja isipokuwa uasi-imani uje kwanza na yule mtu wa uasi-sheria afunuliwe, mwana wa maangamizi.”
-