Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 85
  • Yehova Ni Kimbilio Letu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Ni Kimbilio Letu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova Ni Kimbilio Letu
    Mwimbieni Yehova
  • Yehova Ni Kimbilio Letu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Yehova Ni Kimbilio Letu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2001
  • ‘Pata Kimbilio Katika Jina la Yehova’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 85

Wimbo 85

Yehova Ni Kimbilio Letu

(Zaburi 91:1, 2)

1. Yah Kimbilio letu,

Tumaini letu.

Uvuli, ficho letu;

Na tukae humo.

Yeye atakuokoa

Na tauni, wategaji.

Yehova ni ngome na

Salama ya wa haki.

2. Japoanguka elfu,

Kwa upande wako.

Elfu kumi kulia;

Hutapata dhara.

Hutatetema kwa hofu,

Kana dhara lakujia.

Utaona kwa macho,

’Uwe mbawani mwake.

3. Hutapatwa na pigo,

Wala na musiba.

Mungu kwa malaika

’Takulinda wewe.

Mwana-simba hutahofu;

Fira utamukanyaga.

Hutakwazwa na jiwe

Umutumikiapo.

4. Kwa hiyo musifu Yah;

Haki zitangaze.

’Julishe njema zake,

Pasipo lawama.

’Jitoe nafusi yote;

Tujue wokovu wake.

Yah Kimbilio letu,

Ngome ni jina lake.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki