Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 31
  • Sisi Ni Mashahidi wa Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sisi Ni Mashahidi wa Yehova
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Sisi Ni Mashahidi wa Yehova!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Sisi Ni Mashahidi wa Yehova!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Mali ya Pekee
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 31

Wimbo Na. 31

Sisi Ni Mashahidi wa Yehova!

Makala Iliyochapishwa

(Isaya 43:10-12)

1. Watu wana miungu,

Ya miti na ya mawe.

Nao hawajui,

Mungu wa kweli.

Miungu yote hiyo

Haioni yajayo.

Wala haina mashahidi,

Kwa kuwa ni ya uwongo.

(KORASI)

Mungu wetu wa kweli,

Hutimiza ahadi.

Tu Mashahidi wa Yehova;

Twasema bila woga.

2. Jina lake Yehova,

Twalitangaza kote.

Ufalme wa Mungu,

Twautangaza.

Watu wawekwe huru

Na kweli za Yehova.

Wajiunge nasi kuimba,

Sifa za Yehova Mungu.

(KORASI)

Mungu wetu wa kweli,

Hutimiza ahadi.

Tu Mashahidi wa Yehova;

Twasema bila woga.

3. Kushuhudia jina,

Huondoa lawama.

Huonya waovu,

Wenye dhihaka.

Wakirudi kwa Mungu,

Atawakaribisha.

Shangwe na amani twapata

Na uzima wa milele.

(KORASI)

Mungu wetu wa kweli,

Hutimiza ahadi.

Tu Mashahidi wa Yehova;

Twasema bila woga.

(Ona pia Isa. 37:19; 55:11; Eze. 3:19.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki