Wimbo Na. 36
“Kile Ambacho Mungu Ameunganisha”
Makala Iliyochapishwa
1. Tumeshuhudia,
Mbele zake Mungu.
Mume ameahidi,
Kumupenda muke.
Muke ameahidi,
Kumupenda mume.
(KORASI)
‘Alichounganisha,
Kisitenganishwe.’
2. Neno lake Mungu,
Wamelichunguza.
Mungu awabariki;
Yote watimize.
Kwa staha na furaha,
Kamba imefumwa.
(KORASI)
‘Alichounganisha,
Kisitenganishwe.’
(Ona pia Mwa. 2:24; Mhu. 4:12; Efe. 5:22-33.)