Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 36
  • “Kile Ambacho Mungu Ameunganisha”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Kile Ambacho Mungu Ameunganisha”
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • “Kile Ambacho Mungu Ameunganisha”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Watu wa Yehova Wenye Furaha
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Uzima wa Milele Umeahidiwa
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 36

Wimbo Na. 36

“Kile Ambacho Mungu Ameunganisha”

Makala Iliyochapishwa

(Mathayo 19:5, 6)

1. Tumeshuhudia,

Mbele zake Mungu.

Mume ameahidi,

Kumupenda muke.

Muke ameahidi,

Kumupenda mume.

(KORASI)

‘Alichounganisha,

Kisitenganishwe.’

2. Neno lake Mungu,

Wamelichunguza.

Mungu awabariki;

Yote watimize.

Kwa staha na furaha,

Kamba imefumwa.

(KORASI)

‘Alichounganisha,

Kisitenganishwe.’

(Ona pia Mwa. 2:24; Mhu. 4:12; Efe. 5:22-33.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki