Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 63
  • Washikamanifu Sikuzote

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Washikamanifu Sikuzote
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Washikamanifu Sikuzote
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Upendo Mshikamanifu wa Yehova Unamaanisha Nini Kwako?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2021
  • Yehova Anashangilia Katika Upendo Mshikamanifu—Namna Gani Wewe?
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Yehova Ni Mkuu Katika Upendo Mshikamanifu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 63

Wimbo Na. 63

Washikamanifu Sikuzote

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 18:25)

1. Tuwe washikamanifu,

Kwake Yehova Mungu.

Tuko wakfu kwake Yeye;

Amri zake twatii.

Sikuzote zatufaa,

Twataka kuzijua.

Tunaweza kumwamini.

Kamwe hatutamwacha.

2. Tuwe washikamanifu,

Kwa ndugu zetu wote.

Na ikiwa wana shida,

Hatutawasahau.

Twawajali sikuzote,

Kwa maneno na tendo.

Ushirika wa kindugu,

Unatuunganisha.

3. Tuwe washikamanifu,

Kwa wanaoongoza.

Tupatapo maagizo,

Tutatii kikweli.

Mungu atatubariki,

Na kutuimarisha.

Tutakuwa mali Yake,

Tukiwa wa’minifu.

(Ona pia Zab. 149:1; 1 Tim. 2:8; Ebr. 13:17.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki