Wimbo Na. 4
Kujifanyia Jina Zuri Mbele za Mungu
Makala Iliyochapishwa
1. Tunatamani kupendeza Mungu.
Tuwe na jina zuri mbele zake.
Tukifanya mambo yamupendezayo,
Twafurahisha moyo wake.
2. Umashuhuri na sifa za watu,
Ni ubatili, kujitafutia.
Tukiwa rafiki, za ’limwengu leo,
Kibali Chake, tutakosa.
3. Twataka jina, letu liandikwe,
Kitabuni cha uzima milele.
Basi sikuzote tumutii Mungu
Na kudumisha jina zuri.
(Ona pia Mwa. 11:4; Met. 22:1; Mal. 3:16; Ufu. 20:15.)