Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Februari uku. 6
  • Mambo Tunayojifunza Katika Kitabu cha Nehemia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mambo Tunayojifunza Katika Kitabu cha Nehemia
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Habari Zinazolingana
  • Mmetakaswa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Kitabu Cha Biblia Namba 16—Nehemia
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • “Endelea Kuushinda Uovu Kwa Wema”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Nehemia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Februari uku. 6

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | NEHEMIA 12-13

Mambo Tunayojifunza Kutoka kwa Nehemia

Nehemia alitetea ibada ya kweli kwa bidii

13:4-9, 15-21, 23-27

Nehemia anatupa nje vitu vyote vya Tobia vilivyokuwa ndani ya jumba la kulia chakula hekaluni
  • Kuhani Mkuu Eliyashibu alimruhusu Tobia, ambaye hakuwa mwamini na aliyekuwa mpinzani, amwongoze vibaya

  • Eliyashibu alimpa Tobia jumba la kulia chakula hekaluni

  • Nehemia alitupa nje vitu vyote vya Tobia, akasafisha jumba hilo ili litumiwe kwa njia inayofaa

  • Nehemia aliendelea kuondoa uchafu wote Yerusalemu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki