Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 13
  • Sala ya Shukrani

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sala ya Shukrani
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Sala ya Shukrani
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Sala ya Shukrani
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Yehova Aanza Kutawala
    Mwimbieni Yehova
  • Yehova Aanza Kutawala
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 13

Wimbo Na. 13

Sala ya Shukrani

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 95:2)

1. Yehova Mungu wastahili sifa,

Ni wewe tunayekuimbia,

Nasi tunainama mbele zako

Twajiweka mikononi mwako.

Sisi ni watenda dhambi wanyonge;

Tunakuomba utusamehe.

Kwa damu ya Mwanao tusafishe

Na njia zako utufundishe.

2. Ni wenye shangwe unaoalika,

Nyuani mwako wamiminika.

Utuongoze kwalo Neno lako,

Na tukae hekaluni mwako.

Nguvu zako zisizo na kifani,

Hutoa watu wako gizani.

Ufalme wako tunautangaza,

Kwenye Ufalme macho twakaza.

3. Ulinzi wako tunafurahia;

Ibada yako twashangilia.

Ufalme wako wenye wema waja,

Kifo, huzuni, magonjwa, kwisha.

Yesu atauondoa uovu,

Kisha sote tupate wokovu.

Kwa shangwe ya ushindi tutaimba:

“Ee Yehova wastahili sifa!”

(Ona pia Zab. 65:2, 4, 11; Flp. 4:6.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki