Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • kr kur. 30-31
  • Kweli ya Ufalme​—Kuandaa Chakula cha Kiroho

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kweli ya Ufalme​—Kuandaa Chakula cha Kiroho
  • Ufalme wa Mungu Unatawala!
  • Habari Zinazolingana
  • Jinsi ya Kuongoza Mafunzo ya Biblia kwa Kutumia Kitabu “Furahia Maisha Milele!”
    Wapende Watu—Fanya Wanafunzi
  • Wasaidie Wanafunzi Wako wa Biblia Wafikie Ubatizo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2021
  • Jinsi ya Kufanya Wanafunzi kwa Kutumia Kitabu Ujuzi
    Huduma Yetu ya Ufalme—1996
  • Jinsi ya Kumsaidia Mwanafunzi wa Biblia Afikie Hatua ya Ubatizo—Sehemu ya Pili
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2020
Pata Habari Zaidi
Ufalme wa Mungu Unatawala!
kr kur. 30-31
1. Kutumia gramafoni kusikiliza ujumbe wa Biblia mwishoni mwa miaka ya 1930’s; 2. Funzo la Biblia likifanywa nje nchini Switzerland leo

Kushoto: Dada huko Alabama, Marekani, akicheza hotuba iliyorekodiwa ya Ndugu Rutherford, mwishoni mwa miaka ya 1930

SEHEMU YA 1

Kweli ya Ufalme​—Kuandaa Chakula cha Kiroho

UNAMTAZAMA mwanafunzi wako wa Biblia na kumwona akiwa mwenye shangwe kwa sababu ameelewa vizuri andiko ambalo mmetoka tu kusoma. Anasema hivi kwa sauti ya upole, “Yaani unamaanisha Biblia inafundisha kwamba tunaweza kuishi milele katika Paradiso—hapa hapa duniani?” Mhubiri uliyeandamana naye katika huduma anatabasamu kisha anauliza, “Wewe umeona nini katika andiko hilo?” Akiwa mwenye shauku, mwanafunzi huyo anatikisa kichwa kwa kustaajabu, na kusema, “Siamini kwamba eti sijawahi kufundishwa jambo hili!” Unakumbuka kwamba alisema maneno kama hayo majuma machache tu yaliyopita, alipojifunza kwa mara ya kwanza kwamba jina la Mungu ni Yehova.

Je, umewahi kujionea jambo kama hilo? Watu wengi wa Mungu wamejionea hali hiyo. Mambo kama hayo hutukumbusha kwamba tumepewa zawadi yenye thamani sana—ujuzi wa ile kweli! Hata hivyo, tua kidogo na ujiulize: Uliipataje zawadi hiyo? Katika sehemu hii tutachunguza swali hilo. Namna ambavyo watu wa Mungu wamepata uelewaji wa kiroho hatua kwa hatua ni uthibitisho wa kutosha kwamba Ufalme wa Mungu ni halisi. Kwa karne moja, Mfalme wa Ufalme huo, Yesu Kristo, amekuwa akihakikisha kwamba watu wa Mungu wanafundishwa ile kweli.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki