Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 97
  • Uhai Unategemea Neno la Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Uhai Unategemea Neno la Mungu
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Uzima wa Milele Umeahidiwa
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Je, Umeonja Mkate wa Uzima?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Fanya Kweli Iwe Njia Yako ya Maisha
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 97

WIMBO NA. 97

Uhai Unategemea Neno la Mungu

Makala Iliyochapishwa

(Mathayo 4:4)

  1. 1. Neno la Yehova Mungu,

    Hututegemeza.

    Hatuishi kwa mkate,

    Bali Neno Lake.

    Latupa amani, shangwe,

    na baraka nyingi.

    (KORASI)

    Hatuishi kwa Mkate;

    Bali Neno Lake.

    Latupa tuhitajiyo;

    Latutegemeza.

  2. 2. Neno linasimulia,

    Watu wa zamani.

    Wenye imani thabiti.

    Washikamanifu.

    Tusomapo kuwahusu,

    Tunatiwa moyo.

    (KORASI)

    Hatuishi kwa Mkate;

    Bali Neno Lake.

    Latupa tuhitajiyo;

    Latutegemeza.

  3. 3. Tusomapo Neno Lake,

    Twapata faraja.

    Matatizo yazukapo,

    Latupa hekima.

    Tuthamini tusomayo,

    Na tusikiayo.

    (KORASI)

    Hatuishi kwa Mkate;

    Bali Neno Lake.

    Latupa tuhitajiyo;

    Latutegemeza.

(Ona pia Yos. 1:8; Rom. 15:4.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki