Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • kr kur. 220-221
  • Ahadi za Ufalme​—Kufanya Vitu Vyote Kuwa Vipya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ahadi za Ufalme​—Kufanya Vitu Vyote Kuwa Vipya
  • Ufalme wa Mungu Unatawala!
  • Habari Zinazolingana
  • Kwa Nini Utimize Ahadi Zako?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1999
  • Ahadi Unazoweza Kutumaini
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
  • Unaweza Kutumaini Ahadi za Nani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
  • Ufalme Unatimiza Mapenzi ya Mungu Duniani
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
Pata Habari Zaidi
Ufalme wa Mungu Unatawala!
kr kur. 220-221
1. Dada kijana mkristo akiomboleza kando ya kitanda na mama kilicho na mwili wa mama yake; 2. Dada huyohuyo akiwa na mama yake aliyefufuliwa na akiwa kijana na mwenye afya

Je, unatamani kuona ahadi za Ufalme zikitimia?

SEHEMU YA 7

Ahadi za Ufalme​—Kufanya Vitu Vyote Kuwa Vipya

UNACHUMA tofaa kubwa lililoiva. Unanusa harufu yake nzuri kabla ya kuweka kwenye kikapu chako kilichojaa matunda. Umekuwa ukifanya kazi kwa saa nyingi, lakini hujachoka na uko tayari kufanya kazi nyingine zaidi. Mama yako yuko karibu na mti fulani, akifurahia kazi na mazungumzo pamoja watu wengine wa familia na marafiki ambao wanasaidia kuvuna. Anaonekana akiwa kijana sana—kama alivyokuwa wakati wa miaka yako yote ya utotoni. Uliumia sana ulipomwona mama yako akizeeka katika ulimwengu ambao sasa umepitilia mbali miaka mingi iliyopita. Ulimwona akiwa amedhoofishwa na ugonjwa, uliushika mkono wake alipokuwa akikata pumzi, na ukalia kwa uchungu sana juu ya kaburi lake. Hata hivyo, mama yako pamoja na watu wengine wengi sana wako hai tena na wenye afya bora.

Tunajua kwamba siku hizo zitakuja. Tunajua hivyo kwa sababu ahadi za Mungu sikuzote hutimia. Katika sehemu hii, tutachunguza jinsi ambavyo baadhi ya ahadi za Ufalme zitatimizwa hivi karibuni, katika kipindi kinachoongoza kwenye vita vya Har–Magedoni. Pia tutachunguza ahadi zenye kusisimua za Ufalme ambazo zitatimizwa baadaye. Tutafurahia kwelikweli kuona wakati ambapo Ufalme wa Mungu unatawala dunia hii nzima na kufanya vitu vyote kuwa vipya!

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki