Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • B12-A Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 1)
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • B12-A

      Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 1)

      Nisani 8 (Sabato)

      MACHWEO (Kwa Wayahudi siku huanza na kwisha jua linapotua)

      • Awasili Bethania siku sita kabla ya Pasaka

      • Yohana 11:55–12:1

      MAPAMBAZUKO

      MACHWEO

      Nisani 9

      MACHWEO

      • Ala mlo na Simoni mwenye ukoma

      • Maria ampaka Yesu mafuata ya nardo

      • Wayahudi waja kumwona Yesu na Lazaro

      • Mathayo 26:6-13

      • Marko 14:3-9

      • Yohana 12:2-11

      MAPAMBAZUKO

      • Yesu aingia Yerusalemu kwa shangwe

      • Afundisha hekaluni

      • Mathayo 21:1-11, 14-17

      • Marko 11:1-11

      • Luka 19:29-44

      • Yohana 12:12-19

      MACHWEO

      Nisani 10

      MACHWEO

      • Alala Bethania

      MAPAMBAZUKO

      • Aenda Yerusalemu mapema

      • Asafisha hekalu

      • Yehova azungumza kutoka mbinguni

      • Mathayo 21:18, 19; 21:12, 13

      • Marko 11:12-19

      • Luka 19:45-48

      • Yohana 12:20-50

      MACHWEO

      Nisani 11

      MACHWEO

      MAPAMBAZUKO

      • Afundisha hekaluni, akitumia mifano

      • Awashutumu Mafarisayo

      • Asifu mchango wa mjane

      • Kwenye Mlima wa Mizeituni, atabiri kuanguka kwa Yerusalemu na kutoa ishara ya kuwapo kwake wakati ujao

      • Mathayo 21:19–25:46

      • Marko 11:20–13:37

      • Luka 20:1–21:38

      MACHWEO

      1. Yerusalemu na Maeneo Jirani

      2. 1 Hekalu

      3. 2 Bustani ya Gethsemane (?)

      4. 3 Jumba la Gavana

      5. 4 Nyumba ya Kayafa (?)

      6. 5 Jumba Lililotumiwa na Herode Antipa (?)

      7. 6 Bwawa la Bethzatha

      8. 7 Dimbwi la Siloamu

      9. 8 Ukumbi wa Sanhedrini (?)

      10. 9 Golgotha (?)

      11. 10 Akeldama (?)

      • Kinachoonyeshwa Kwenye Ramani

      • Bonde la Hinomu

      • Bonde la Kidroni

      • Mlima wa Mizeituni

      • Kwenda Bethfage na Bethania

      • Kwenda Bethania

      • Kinachoonyeshwa Kwenye Mpangilio wa Nyakati

      • Yesu afa 33 W.K.

  • B12-B Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 2)
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • B12-B

      Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 2)

      Nisani 12

      MACHWEO (Kwa Wayahudi siku huanza na kwisha jua linapotua)

      MAPAMBAZUKO

      • Yesu ashinda na wanafunzi wake

      • Yuda apanga kumsaliti Yesu

      • Mathayo 26:1-5, 14-16

      • Marko 14:1, 2, 10, 11

      • Luka 22:1-6

      MACHWEO

      Nisani 13

      MACHWEO

      MAPAMBAZUKO

      • Petro na Yohana watayarisha Pasaka

      • Yesu na mitume wengine wawasili jioni inapokaribia

      • Mathayo 26:17-19

      • Marko 14:12-16

      • Luka 22:7-13

      MACHWEO

      Nisani 14

      MACHWEO

      • Yesu ala Pasaka na mitume wake

      • Awaosha miguu mitume

      • Amfukuza Yuda

      • Aanzisha Mlo wa Jioni wa Bwana

      • Mathayo 26:20-35

      • Marko 14:17-31

      • Luka 22:14-38

      • Yohana 13:1–17:26

      • Asalitiwa na kukamatwa katika bustani ya Gethsemane

      • Mitume wakimbia

      • Aulizwa maswali na Sanhedrini katika nyumba ya Kayafa

      • Petro amkana Yesu

      • Mathayo 26:36-75

      • Marko 14:32-72

      • Luka 22:39-65

      • Yohana 18:1-27

      MAPAMBAZUKO

      • Asimama tena mbele ya Sanhedrini

      • Apelekwa kwa Pilato, kisha kwa Herode, arudishwa tena kwa Pilato

      • Ahukumiwa kifo na kutundikwa Golgotha

      • Afa karibu saa tisa mchana

      • Mwili waondolewa na kuzikwa

      • Mathayo 27:1-61

      • Marko 15:1-47

      • Luka 22:66–23:56

      • Yohana 18:28–19:42

      MACHWEO

      Nisani 15 (Sabato)

      MACHWEO

      MAPAMBAZUKO

      • Pilato akubali walinzi wawekwe ili kulinda kaburi la Yesu

      • Mathayo 27:62-66

      MACHWEO

      Nisani 16

      MACHWEO

      • Manukato zaidi yanunuliwa kwa ajili ya mwili wa Yesu

      • Marko 16:1

      MAPAMBAZUKO

      • Afufuliwa

      • Awatokea wanafunzi wake

      • Mathayo 28:1-15

      • Marko 16:2-8

      • Luka 24:1-49

      • Yohana 20:1-25

      MACHWEO

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki