Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 119
  • Lazima Tuwe na Imani

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Lazima Tuwe na Imani
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Lazima Tuwe na Imani
    Mwimbieni Yehova
  • Ni Lazima Tuwe na Imani!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • “Tupe Imani Zaidi”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Onyesha Imani Yako Katika Ahadi za Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 119

WIMBO NA. 119

Lazima Tuwe na Imani

Makala Iliyochapishwa

(Waebrania 10:38, 39)

  1. 1. Kale Yehova Mungu kasema,

    Kupitia manabii.

    Leo kupitia Mwana wake,

    Anasema: ‘Tubuni! ’

    (KORASI)

    Je, tuna imani kweli?

    Ni lazima tuijenge.

    Je, ni ya matendo kweli?

    Imani iokoayo nafsi.

  2. 2. Amri ya Yesu Kristo twatii,

    Ufalme tunatangaza.

    Tuutangaze ujumbe wake

    Utakaotimizwa.

    (KORASI)

    Je, tuna imani kweli?

    Ni lazima tuijenge.

    Je, ni ya matendo kweli?

    Imani iokoayo nafsi.

  3. 3. Tuna imani nayo ni ngao;

    Kamwe hatutaogopa.

    Tunavumilia tukijua,

    Wokovu u karibu.

    (KORASI)

    Je, tuna imani kweli?

    Ni lazima tuijenge.

    Je, ni ya matendo kweli?

    Imani iokoayo nafsi.

(Ona pia Rom. 10:10; Efe. 3:12; Ebr. 11:6; 1 Yoh. 5:4.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki