Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 118
  • “Tusaidie Tuwe na Imani Zaidi”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Tusaidie Tuwe na Imani Zaidi”
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • “Tupe Imani Zaidi”
    Mwimbieni Yehova
  • Lazima Tuwe na Imani
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Lazima Tuwe na Imani
    Mwimbieni Yehova
  • “Tupe Imani Zaidi”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 118

WIMBO NA. 118

“Tusaidie Tuwe na Imani Zaidi”

Makala Iliyochapishwa

(Luka 17:5)

  1. 1. Kwa sababu hatujakamilika,

    Mwelekeo wetu ni mbaya.

    Kuna dhambi itutatanishayo—

    Kutokuwa na imani kwako.

    (KORASI)

    Ee, Yehova, tupatie imani.

    Twakuomba, utusaidie,

    Kwa rehema unazotuonyesha.

    Nawe uheshimiwe zaidi.

  2. 2. Ili kukupendeza wewe vema,

    Ni lazima tuwe na imani.

    Kama ngao, imani hutulinda.

    Hatuhofu tunayokabili.

    (KORASI)

    Ee, Yehova, tupatie imani.

    Twakuomba, utusaidie,

    Kwa rehema unazotuonyesha.

    Nawe uheshimiwe zaidi.

(Ona pia Mwa. 8:21; Ebr. 11:6; 12:1.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki