Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 67
  • “Lihubiri Neno”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Lihubiri Neno”
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • “Lihubiri Neno”
    Mwimbieni Yehova
  • “Lihubiri Neno”!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Njema Hizi za Ufalme Tuzihubiri
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kutafuta Marafiki wa Amani
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 67

WIMBO NA. 67

“Lihubiri Neno”

Makala Iliyochapishwa

(2 Timotheo 4:2)

  1. 1. Mungu ametuamuru;

    Ametupa kazi ya kufanya.

    Sikuzote tuwe tayari,

    Kuwapa wengine tumaini.

    (KORASI)

    Tuhubiri,

    Wote tusaidie!

    Hubiri,

    Mwisho wakaribia.

    Hubiri,

    Wafundishe wapole.

    Hubiri,

    Kotekote!

  2. 2. Hata tukisumbuliwa;

    Upinzani, chuki, na dhihaka.

    Japo tunadharauliwa,

    Twatumai Mungu bila shaka.

    (KORASI)

    Tuhubiri,

    Wote tusaidie!

    Hubiri,

    Mwisho wakaribia.

    Hubiri,

    Wafundishe wapole.

    Hubiri,

    Kotekote!

  3. 3. Mungu atatubariki,

    Tutaendelea kufundisha.

    Wokovu tutautangaza,

    Na jina la Mungu kutakasa.

    (KORASI)

    Tuhubiri,

    Wote tusaidie!

    Hubiri,

    Mwisho wakaribia.

    Hubiri,

    Wafundishe wapole.

    Hubiri,

    Kotekote!

(Ona pia Mt. 10:7; 24:14; Mdo. 10:42; 1 Pet. 3:15.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki