Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 10
  • Swali la 3: Ni nani aliyeandika Biblia?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Swali la 3: Ni nani aliyeandika Biblia?
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Swali la 3: Ni nani aliyeandika Biblia?

SWALI LA 3

Ni nani aliyeandika Biblia?

“Musa akaandika maneno yote ya Yehova.”

Kutoka 24:4

“Danieli aliota ndoto na kuona maono akiwa amelala kitandani mwake. Kisha akaandika ndoto hiyo; akaandika masimulizi kamili ya mambo hayo.”

Danieli 7:1

“Mlipolipokea neno la Mungu, ambalo mlilisikia kutoka kwetu, mlilikubali si kama neno la wanadamu, bali kama lilivyo kwa kweli, kama neno la Mungu.”

1 Wathesalonike 2:​13

“Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu nalo ni lenye faida kwa kufundisha.”

2 Timotheo 3:​16

“Unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu, bali wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu kama walivyoongozwa na roho takatifu.”

2 Petro 1:​21

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki