Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g03 9/22 uku. 24
  • “Fuliza Kufanya Lililo Jema”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Fuliza Kufanya Lililo Jema”
  • Amkeni!—2003
  • Habari Zinazolingana
  • Msifuni Yehova Mungu Wetu
    Mwimbieni Yehova
  • Msifuni Yehova Mungu Wetu!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • “Neno Linalosemwa Wakati Unaofaa Ni Jema Kama Nini!”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
  • Je, Ni Kusifu au Ni Kurai?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1998
Pata Habari Zaidi
Amkeni!—2003
g03 9/22 uku. 24

“Fuliza Kufanya Lililo Jema”

“Ningependa kuwafahamisha kwamba jitihada na kazi yenu imetambuliwa na watu wanaojali usafi na pia maoni ya wageni kuhusu Mji wetu. Majengo yenu yanaonyesha jinsi mnavyopendezwa na mazingira mazuri na Mji wenyewe.”

Maneno hayo yalisemwa na meya wa mji wa Halton Hills, ambako ofisi ya tawi ya Mashahidi wa Yehova ya Kanada imejengwa. Baadaye, meya huyo alitoa zawadi yenye maandishi kwa ofisi ya tawi, akitoa “shukrani kwa jitihada na kazi iliyofanywa ili kuboresha maisha ya wakazi wote wa Halton Hills.”

Shukrani kama hizo kutoka kwa wakuu wa serikali huonyesha ukweli wa andiko la Waroma 13:3, linalosema hivi: “Fuliza kufanya lililo jema, nawe utakuwa na sifa kutoka kwayo.” Hata hivyo, sifa na heshima zinapaswa kumwendea Mwenye Enzi Kuu ya ulimwengu mzima, Yehova.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki